Diana Rubanguka
Saadani.
Imeelezwa kuwa Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyoko Mkoa wa Pwani na Tanga ni hifadhi ya kipekee kutokana na kuwa na aina nne za utalii ndani mwake tofauti na hifadhi nyingine nchini. Continue reading
Diana Rubanguka
Saadani.
Imeelezwa kuwa Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyoko Mkoa wa Pwani na Tanga ni hifadhi ya kipekee kutokana na kuwa na aina nne za utalii ndani mwake tofauti na hifadhi nyingine nchini. Continue reading
WANANCHI wa Mkoa wa Kigoma, wametahadharishwa kutowadhuru watafiti au kukwamisha kwa namna yoyote utafiti unaofanywa na serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), kuhusu hali ya upatikanaji wa nishati nchini. Continue reading
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh.Mwigulu Nchemba, amewataka watendaji wa Vijiji na Kata kulipatia kipaumbele suala la kuwatambua raia na wahamiaji haramu katika maeneo yao ili kudhibiti vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha badala ya kudhani kuwa hilo ni jukumu la polisi pekee. Continue reading
HALMASHAURI kuu ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma, imewafukuza uanachama, wanachama tisa wa chama hicho kutoka wilaya ya Uvinza na wilaya ya kichama ya Kigoma mjini, ambao wanatuhumiwa kukisaliti chama wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Continue reading
WATUMISHI 6 wa serikali wakiwemo makaimu wakurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji na Maafisa wa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kujihusisha na udanganyifu katika miradi iliyokuwa ikizinduliwa na Mwenge wa Uhuru. Continue reading
Baada ya Bunge la Tanzania kupitisha bajeti iliyoweka kodi ya ongezeko la thamani katika sekta ya utalii, kampuni kubwa za mawakala wa utalii jijini Arusha zimeripoti kuwa zaidi ya wageni 8,000 wamekatiza safari na kupoteza kiasi dola milioni sita.
Chanzo:DW
MKUU wa Idara ya Chipukizi Sekondari na Vyuo vikuu, Makao Makuu ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Mh.Zainab Katimba, ameagiza kila wilaya mkoani Kigoma ihakikishe inakuwa na ulezi wa chipukizi ili kuwaandaa kuwa viongozi bora hapo baadaye. Continue reading
WANAWAKE wakazi wa mji wa Kigoma, wamekumbwa na taharuki kufuatia kuibuka mtu asiyefahamika anayewaingilia kinguvu wakati wamelala kwenye nyumba zao usiku huku akitumia panga kuwatisha na kuwakata kata mapanga sehemu mbali mbali za miili yao wale wanaokataa kutekeleza matakwa yake. Continue reading
WATU wawili wa familia moja mke na mume, ambao ni Nyanda Masele na Kwilabya Masasila, wakazi wa Kitongoji cha Mawasiliano katika Kijiji cha Mpeta Wilaya ya Uvinza, mkoani Kigoma, wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wa kukodiwa kwa ajili ya kufanya mauaji hayo. Continue reading