Tazama picha mbali mbali za Mbunge wa Bunge la Jmahuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia UVCCM Mkoa wa Kigoma, Zainab Katimba(aliyevaa Gum Boot), akiwaongoza Vijana wenzake katika zoezi la kufanya usafi, ambapo wamefanya usafi katika eneo la Hospitali ya Maweni.
Tazama picha hapa chini Mbunge kupitia UVCCM Mkoa wa Kigoma, Zainab Katimba, alipotembelea Hospitali ya Maweni na Vijana wengine wakiongozwa na Mwenyekiti UVCCM Mkoa wa Kigoma, Peter Msanjila.
Mbunge huyo amewafariji wagonjwa na kutoa zawadi ya sabuni, vinywaji laini na Biskuti, ambapo pia amewapa salaam wagonjwa kutoka kwa Rais John Magufuli, kwamba wawe na matumaini kuhusu huduma za afya.