Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, amemuomba radhi Rais Magufuli na watanzania wote kwa ujumla kwa kitendo chake cha kukumbwa na kigugumizi na kusita sita muda wote wa kula kiapo na kushangaza wengi waliofuatilia tukio la wakati Rais Magufuli kuwaapisha mawaziri hii leo Jijini Dar es Salaam. Continue reading